Changia Sasa
Baraka Zako Zipo Katika Kutoa kwa Moyo
Kila mchango wako ni mbegu inayopandwa katika shamba la Bwana. Kwa kusaidia kazi ya Mungu kupitia michango yako, unakuwa sehemu ya baraka zake na kushiriki katika upendo wa Kristo kwa wote.
T oeni, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika, watu watakipa kifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.
100%
Lengo Letu
TSh 20,598,000
30%
Zilizokusanywa
TSh 6,179,400
